Waziri wa Biashara na Viwanda Mhe. Innocent Bashungwa amewatoa hofu watanzania juu ya kupanda kwa bei ya sukari na kusema Kama nchi hakuna upungufu wa sukari nchini, na upungufu wa sukari ushaagizwa na imeshafika nchini.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment