Search This Blog
Wednesday, April 1, 2020
UEFA imeipiga faini Man City kisa ukubwa wa logo ya mdhamini
Shirikisho la soka Ulaya UEFA limeipiga faini club ya Man City ya England kiasi cha Euro 3000 (Tsh milioni 7.6) kwa kosa la kuvaa jezi za mazoezi zinazokiuka sheria.
Kosa la Man City walitenda mwezi uliopita katika mchezo wa UEFA Champions League dhidi ya Real Madrid, Man City wakati wa warm up kabla ya mchezo jezi zao za warm up walizovaa logo ya mdhamini iliyokuwepo ilikuwa kubwa zaidi na kukiuka sheria za mashindano.
Kwa kawaida kuna kiwango cha ukubwa wa Logo inayotakiwa kukaa kwenye jezi lakini Man City waliweka kubwa, UEFA wamewapa Man City siku 90 za kukata rufaa kama wataona wameonewa, mchezo huo wa 16 bora ulimalizika Man City ikishinda 2-1.
Sheria za UEFA zinaeleza kuwa ukubwa wa logo ya mdhamini katika makoti/jezi ya warm up kabla ya mechi au makoti wanayoingia nayo dakika chache kabla ya mchezo kuanza yanapaswa kuwa na saizi ya 20cm square na 200cm square kwa sare zingine zisizokuwa za kuchezea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment