Watu 40 waripotiwa kufariki katika shambulizi la kigaidi lililoendesha na wanamgambo wa kundi la PKK/YPG Afrin nchini Syria.
Miongoni mwa watu hao waliofariki wamo watoto 11.
Wizara ya ulinzi imefahamisğha kwamba shambulizi hilo la magaidi limelenga eneo la Racu katika kitongoji cha Afrin nchini Syria na kusababisha maafa hayo.
Magadi wametumia bomu la kutengeneza kwa mikono na kuchanganya na mafuta.
Kama ilivyo kawaida yao magaidi wa kundi la PKK na washirika wake wa YPG wamewalenga raia na kuwasababishia maafa.
Katika shambulizi hilo watu 47 wamejeruhiwa wakiwemo pia watu waliojeruhiwa vikali.

No comments:
Post a Comment