Search This Blog

Saturday, April 18, 2020

Rose Ndauka Afunga Ndoa na Mpenzi Wake wa Muda Mrefu Haffiyy Mkongwa

Muigizaji wa filamu za Bongo Movie, Rose Ndauka ameingia rasmi kwenye maisha ya ndoa na aliyekuwa mchumba wake wa muda mrefu anayefahamika kwa jina la Haffiyy Mkongwa.

Rose amefunga ndoa ya siri iliyohusisha watu wachache tu wa familia za wawili hao kutokana na kuwepo hatari ya mlipuko wa Ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...