Search This Blog

Monday, April 27, 2020

RC Kilimanjaro Anna Mghwira afanyiwa vipimo vya corona


MKUU wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira amekuwa kiongozi wa kwanza kujitokeza hadharani na kufanya vipimo vya Homa ya Mapafu (COVID-19) inayosababishwa na Virusi hatari vya Corona lengo likiwa ni kuhamasisha wananchi watizame afya zao kabla hali haijabadilika.

RC Mghwira ametoa sababu za kupima ugonjwa huo na kudai kuwa anakutana na watu wengi na amefanya hivyo ili kujua usalama wake na asije kuwa chanzo cha kuwapelekea wengine.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...