Search This Blog
Tuesday, April 21, 2020
Rais wa Sierra Leone ajiweka Karantini, mlinzi wake aambukizwa Corona
Rais wa Sierra Leone Julius Maada Bio amejiweka Karantini kwa siku 14 baada ya mlinzi wake kubainika kuwa na maambukizi ya virusi vya Corrna.
Msemaji wa ofisi ya rais amewaambiwa waandishi wa habari kuwa rais wao ana afya njema lakini atakuwa akifanya kazi zake akiwa nyumbani na hakuna mwanafamilia yake aliye athirika na virusi hivyo hadi sasa.
Katika ukurasa wake wa Twitter rais Bio ameandika ” Serikali yangu itaendelea kuwa na uwazi kwa wananchi ambao wanatakiwa kuendelea kujikinga kwa kufuata maelekezo yote”
Nchi ya Sierra Leone hadi kufika siku ya leo ina visa vya wagonjwa 43 wa covid 19, sita wamepona na hainavifo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment