"Mahusiano ni kitu kipana sana lakini ni lazima mwanamke ujitambue ili kujua ni wapi mahusiano yako yanaelekea, inawezekana Rotimi anamtumia Vanessa ili kupata fan base ya East Africa, lakini sizioni jitihada za Rotimi kumfanya Vanessa apate fan base either Marekani au hata Nigeria, lakini ninachokiona ni Vanessa anatumika sana kumpa fan base Rotimi" - Mwijaku
Kama kinavyojieleza cheo alichojipa mwenyewe "Msemaji wa Maisha ya Watu" ameyasema hayo Mwijaku kwenye #PressRelease ya @CloudsTV
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment