Search This Blog
Saturday, April 11, 2020
Maskini..Mtoto wa Miaka 3 Afariki Mtaroni
Mtoto wa miaka mitatu, Adam Kaliambe amepoteza maisha baada ya kutumbukia katika mtaro mkubwa wa maji machafu akivuka kuelekea dukani mkoani Tanga.
Kwa mujibu wa Baba mzazi wa marehemu, Emanuel Kaliambe, ni kwamba tukio hilo lilitokea majira ya saa moja jioni katika mtaa wa Mjimwema Magomeni Jiji la Tanga.
Kaliambe amesema siku ya tukio yeye na mtoto huyo walienda nyumbani kwa mdogo wake na hapo mtoto huyo aliomba shilingi mia ya kununua pipi na baada ya kupewa alitoka na kuelekea dukani ambako hakurudi tena.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment