Leo April 6, 2020, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, ataanza rasmi zoezi la kuwakamata wazururaji wote wa Mkoa huo, wanaoingia mjini bila ya kuwa na kazi yoyote ikiwa ni tahadhari ya Virusi vya Corona.
Makonda amesema kuwa haina haja kwa mtu kuendelea kuzurura ili hali anatambua kabisa Dunia ipo kwenye wakati gani na hivyo mtu kama hana kitu cha msingi cha kufanya ni bora abaki nyumbani.
"Umuhimu wa kuchapa kazi uko palepale, kuanzia Jumatatu tutakamata wazururaji wote mjini wasiokuwa na kazi ya maana, hao ndiyo wanaosababisha mikusanyiko isiyokuwa na tija, unaenda stendi, Sokoni, Bandarini huna kazi huo ni uzururaji unahatarisha maisha ya watu wengine" amesema Makonda.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment