Search This Blog
Friday, April 17, 2020
Lulu Michael Awaita Watu Aliokesha Nao ‘Malijendi’ Awaombea Baraka za Roho na Mwili
Msanii wa Bongo Movie Elizaberth Michael (Lulu) amewashukuru watu wote waliomtakia heri jana katika siku yake ya kuzaliwa akitimiza miaka 25.
Katika siku hiyo (jana Aprili 17, 2020) Lulu alifanyia Party yake mtandaoni ambapo aliwaalika watu kujumuika naye huku wakiwa wamependeza.
“Shukraaani kwa wewe uliyetenga muda wako na kunitakia Kheri ya siku yangu ya kuzaliwa (jana)
Wale Tuliokesha wote mjini YUTUBU, Nyie ni MALIJEEENDI kabisa,”
Ahsante sana kwa kusherehekea Baraka hii ya mwaka mwingine Katika maisha yangu….Asante sana kwa kuifanya siku yangu iwe nzuri na ya kipekee UBARIKIWE BARAKA ZA ROHONI NA MWILINI”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment