Search This Blog
Sunday, April 26, 2020
Katibu Mkuu Shivyatiata Ataja Mchanganyiko Sahihi wa Kujifukiza Kwa Ajili ya Tiba
Katika wakati huu ambao watanzania wengi wanapambana kujifukiza mengi yamekuwa yakielezwa juu ya mchanganyiko sahihi wa kutumia lakini Katibu Mkuu wa Shirikisho la vyama vya Tiba Asilia Tanzania (SHIVYATIATA) Dk Othman Kilamwegula amefunguka juu ya vitu vinavyotakiwa.
Dk Kilamwegula amesema mchanganyiko huo unaweza kusaidia wenye magonjwa ya Homa ya Mapafu, ametaja baadhi kuwa ni Tangawizi limao ndimu na mchaichai ni muhimu kutumia matunda na mboga za majini
Amesema katika kujifukiza kuna mimea ya kuchemsha ambayo ni majani ya mwembe, majani ya mpera, majani ya mkaratusi, ndimu au mchungwa.
Suala la kujifukiza limeibuka kuwa gumzo miongoni mwa watu tangu Rais John Magufuli alipowataka watanzania kuanza kujaribu njia za asili katika kukabiliana na ugonjwa wa virusi vya corona (Covid-19).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment