Founder na CEO wa Clouds Media Group @JosephKusaga amezungumza kwa mara ya kwanza toka afiwe na Rafiki yake (Iddi Mbita) aliefariki kutokana na virusi vya corona.
“Naweza kuzungumza kwa utofauti kidogo, wengine mnaona au kusikia kwenye habari lakini Mimi nimeondokewa na Mtu ambae alikua Rafiki wa karibu kabisakabisa”
“Swala la corona sio kama wengine wanavyolichukulia kimzaha, Mgonjwa wa kwanza alieondoka na corona Iddi Mbita ni Mtu ambae tumekua pamoja, tumekua nae, ni time ya kujilinda hakuna mzaha kwenye hili
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment