Search This Blog

Thursday, April 9, 2020

Hatimaye kero ya barabara Msewe yatatuliwa


Hatimaye barabara ambayo ilikuwa ni kero ya muda mrefu kwa Wakazi wa Ubungo ya Kibo kuelekea Ubungo Msewe imeanza kurekebishwa .

Meya wa Ubungo Boniface Jacob  "Jitihada kubwa za Halmashauri kutenga fedha na kupeleka TARURA na hela ilikuwepo tumewa-push TARURA kwenye vikao, hatimaye kazi inafanywa na Mkandarasi MPEHA kwa Million 154 katika Barabara

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...