Imeripotiwa na mtandao wa inyarwanda.com kuwa kiungo wa Yanga SC na timu ya taifa ya Rwanda Haruna Niyonzima ameoa mke wa pili akiwa jijini Dar es Salaam.
Niyonzima na Cassandra Rayan wamefunga ndoa ya kimyakimya jijini Dar es Salaam huku baadhi ya watu wakidai kuwa inawezekana hilo limefanyika sababu ya corona.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment