Search This Blog
Saturday, April 18, 2020
Eminem: Kiumbe Ambacho Wana Hiphop Wanaogopa Kuwa na Bifu Nae, Rap God
Ndiye king of freestyles zinazomake sense na hajuna anaepinga, unashauriwa kuwa na dictionary pembeni maana nahisi anajua maneno yote, Ole wako!!Ole wako ujitie wenda wazimu uanzishe bifu na hiki kiumbe
Kumdisi eminem ni kama kumuua mbwa wa john wick, eminem na huyu bwana nahisi wana undugu maana wote wanateketeza kwa kalamu.
Yanni eminem kitendo cha kukujibu ukimdisi ni kama anakuchimia kaburi la career yako ujizike mwenyewe.
Huwezi kumdisi mtu ambaye tayari anajidiss, waliocheki 8 mile ya eminem nadhani mshanipata
Kina jarule wallijaribu wakateketea mazima, kina machine gun kelly nao wakunga tela, nick canon nahisi kaanza kutumia madawa maana sijui hata kapata hii confidence wapi.
Japo kina tupaccama notorious big walikuwepo vizuri, ila sidhani kama wamefika hata nusu ya eminem ila tatizo tu labda ni mzungu ndio mana wengi hawamp heshima anayostahili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment