Search This Blog

Saturday, April 25, 2020

Dk. Ndugulile: Mama mwenye maambukizi ya Corona ruksa kunyonyesha mtoto



Naibu waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto, Dk Faustine Ndugulile, amesema mama mwenye maambukizi ya Covid-19 anapaswa kuendelea kunyonyesha mtoto wake.

“Hakuna ushahidi kuwa maziwa yanaambukiza Corona,” aliandika Dk Ndugulile.

“Kuvaa barakoa kipindi chote cha unyonyeshaji, usafi wa mwili kabla ya kunyonyesha na usafi wa matiti na mikono kabla ya kunyonyesha,” aliandika Dk. Ndugulile katika ukurasa wake wa Twitter



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...