Search This Blog
Thursday, April 16, 2020
Dickson Etuhu afungiwa miaka mitano kujihusisha na soka
Mchezaji wa zamani wa Man City Dickson Etuhu ,37, afungiwa miaka mitano kujihisisha na soka kutokana na kubainika kuwa alihusika kupanga matokeo ya mechi May 2017.
Etuhu alihusika kupanga matokeo baada ya kubainika kuwa alimshawishi mchezaji mwenzake wa AIK Stockholm anayejulikana kwa jina la Kane Stomatopoulos kupanga matokeo katikamchezo dhidi ya Gothenburg.
Inaaminika kuwa golikipa Stomatopoulos alipewa ofa ya pauni 180,000 (Tsh milioni 520) na Etuhu ili acheze chini ya kiwango mchezo huo baada ya golikipa namba moja wa timu hiyo kuumia na kuukosa mchezo huo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment