Search This Blog

Thursday, April 30, 2020

Breaking: Waziri Wa Katiba Na Sheria Mahiga Afariki Dunia -Video



Waziri wa Katiba na Sheria , Balozi Dkt Augustine Mahiga amefariki dunia alfajiri ya leo baada ya kuugua ghafla akiwa mjini Dodoma.

Rais John Magufuli ametuma salamu za rambirambi na kumuelezea Balozi Mahiga kuwa ni mchapakazi, mzalendo na mwanadiplomasia mahiri.





No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...