Search This Blog
Wednesday, April 29, 2020
Arusha yatangaza mazishi kuhudhuriwa na watu 10
Kufuatia sintofahamu inayoendelea kuhusiana na idadi ya watu wanaoruhusiwa kushiriki mazishi katika kipindi hiki cha mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19 Duniani, Serikali ya mkoa wa Arusha imetangaza rasmi kuanzia sasa kuwa mazishi yote katika mkoa huo yatakuwa yakihudhuriwa na watu wasiozidi kumi lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa watu katika maeneo ya makaburi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment