Search This Blog

Wednesday, April 29, 2020

Arusha yatangaza mazishi kuhudhuriwa na watu 10


Kufuatia sintofahamu inayoendelea kuhusiana na idadi ya watu wanaoruhusiwa kushiriki mazishi katika kipindi hiki cha mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19 Duniani, Serikali ya mkoa wa Arusha imetangaza rasmi kuanzia sasa kuwa mazishi yote katika mkoa huo yatakuwa yakihudhuriwa na watu wasiozidi kumi lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa watu katika maeneo ya makaburi.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...