Search This Blog
Monday, April 6, 2020
Anthony Joshua "Baadhi ya Watu Waliniita ‘Mwendawazimu’ kwa Kukubali Kurudiana na Andy Ruiz Jr"
Bingwa wa ngumi uzito wa juu duniani, Anthony Joshua, amesema aliitwa ‘Mwendawazimu’ na baadhi ya watu, kwa kukubali kwake kucheza pambano la marudiano na Andy Ruiz Jr, miezi michache tu baada ya kupoteza dhidi ya Mmexico huyo.
Joshua alifanikiwa kurejesha mikanda yake ya ubingwa wa uzito wa juu ya IBF, WBA na WBO kutoka kwa Ruiz Jr mwezi in Disemba, miezi sita baada ya kuipoteza.
AJ amesema kuwa aliamua kutosikiliza ushauri wa watu, waliomchukulia kama mwendawazimu kwa hatua yake ya maamuzi ya kukubali kurudi ulingoni kwaajili ya pambano la marudiano.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment