Search This Blog
Monday, March 16, 2020
Waziri Kairuki atoa misaada kwenye vituo vya watoto yatima na walemavu Same
Na Ferdinand Shayo,Same.
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angellah Kairuki atoa misaada katika vituo vya kulelea watoto yatima pamoja cha Rafiki Children Center na kituo cha watoto wenye ulemavu Wilayani Same cha Mama Kevin ikiwa ni njia mojawapo ya kuiwezesha jamii hiyo ambayo imekua ikisahaulika.
Kairuki amekabidhi vifaa mbalimbali kwa watoto pamoja pampers na sabuni pamoja na vyakula katika vituo vya Mama Kevin pamoja na Tumaini children center ambayo ni makao ya watoto.
Aidha amewapongeza walezi wa vituo hivyo kwa kazi kubwa wanaoyifanya ya kulea watoto katika misingi ya maadili mema ,uzalendo na kukua vizuri kiroho ii waweze kuwa na mchango katika jamii licha ya changamoto walizonazo sasa.
Amewataka wakazi wa same kuungana na kujenga utamaduni wa kusaidia watoto yatima walioko katika vituo ili waweze kukua vyema na kulijenga taifa lao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment