Search This Blog

Tuesday, March 3, 2020

Watu tisa wapoteza maisha kutokana na kimbunga nchini Marekani




Watu 9 wamepoteza maisha nchini Marekani kufuatia kimbunga kilichotokea katika jimbo la Tennessee nchini Marekani.

Kwa mujibu wa habari zilizorushwa  na vyombo vya Marekani, kimbunga kilichopiga usiku kucha katika mji wa Nashville, jimbo la Tennessee kimesababisha kwa uchache watu 9 kufariki, huku wengi zaidi wakijeruhiwa.

Pia imefahamishwa kwamba kimbunga hicho kikali kimeharibu majengo, barabara, madaraja na maeneo ya kazi



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...