Search This Blog
Sunday, March 29, 2020
Vifo vya corona vyaongezeka Uturuki wafikia watu 131
Waziri wa afya wa Uturuki atangaza idadi ya vifo kwa korona Uturuki kuongezeka.
Fahrettin Koca, waziri wa afya wa Uturuki ametangaza kuwa idadi ya watu ambao wamekwishafariki kutokana na virusi vya corona imeongezeka.
Idadi hiyo imeripotiwa kuongezeka baada ya watu 23 kufariki na kufanya idadi hiyo kuongezeka na kuwa watu 131.
Katika ujumbe wake aliotoa katika ukurasa wake wa Twitter, Waziri wa afya wa Uturuki amesema kuwa katika kipindi cha masaa 24 yaliopita watu 23 wamefariki.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment