Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Dkt Anna Mghwira amefanya ziara ya kutembelea baadhi ya makanisa mjini Moshi kufuatilia endapo tahadhari zilizotolewa na Serikali zinatekelezwa.
Dkt Mghwira ametembelea Makanisa ya Kristo Mfalme(RC), Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT)usharika wa Moshi mjini ,kanisa la Pentekosti (TAG) Moshi na Kanisa la Anglikana.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment