Search This Blog

Sunday, March 29, 2020

RC Mghwira afanya ziara ya kutembelea makanisa

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Dkt Anna Mghwira amefanya ziara ya kutembelea baadhi ya makanisa mjini Moshi kufuatilia endapo tahadhari zilizotolewa na Serikali zinatekelezwa.

Dkt Mghwira ametembelea Makanisa ya Kristo Mfalme(RC), Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT)usharika wa Moshi mjini ,kanisa la Pentekosti (TAG) Moshi na Kanisa la Anglikana.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...