Muigizaji maarufu wa filamu duniani Idris Elba ambaye pia amewahi kutajwa na jarida la "People Magazine kuwa mwanaume mwenye mvuto zaidi duniani amethibitika kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona.
Kupitia ukurusa wake wa Twitter amechapisha video fupi akiwa na mkewe akizungumza alivyopata maambukizi hayo, na maendeleo ya afua yake.
Elba amesema licha ya kwamba hakuwa na dalili za homa ya mapafu, COVID-19, lakini alipima baada ya kubaini kuwa alikuwa karibu na mtu mwenye maambukizi.
Aidha, ameweka wazi kuwa anaendelea vizuri na kwamba tayari amejitenga ili kuhakikisha hasambazi virusi hivyo kwa watu wengine.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment