Search This Blog

Tuesday, March 31, 2020

Msanii maarufu wa muziki wa Jazz Wallace Roney amefariki kwa corona


Msanii maarufu wa muziki wa Jazz Wallace Roney amefariki baada ya kuugua Covid-19, Msemaji wa familia amethibitisha hili nakusema,

'Wallace Roney amefariki akiwa ktk matibabu ya CoronaVirus ktk hospitali ya Chuo Kikuu cha St Joseph huko Paterson, New Jersey, Alikuwa na umri wa miaka 59'.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...