Search This Blog
Tuesday, March 31, 2020
Msanii maarufu wa muziki wa Jazz Wallace Roney amefariki kwa corona
Msanii maarufu wa muziki wa Jazz Wallace Roney amefariki baada ya kuugua Covid-19, Msemaji wa familia amethibitisha hili nakusema,
'Wallace Roney amefariki akiwa ktk matibabu ya CoronaVirus ktk hospitali ya Chuo Kikuu cha St Joseph huko Paterson, New Jersey, Alikuwa na umri wa miaka 59'.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment