Search This Blog

Monday, March 23, 2020

Haitham Kim Amvaa Tena Amber Lulu Kisa Kuchukuliana Bwana

 
Mrembo Haitham Kim amefunguka na kusema Amber Lulu ni mshamba na hana hadhi ya kutembea na mwanaume wake kwa sababu haendani naye.



Haitham Kim amesema hivyo baada ya kuwepo na stori zinazoelezwa kuwa Amber Lulu amemuibia mwanaume wake aitwaye Boshen, kisha kujirekodi wote video na kupost katika mtandao wa Instagram.

"Amber Lulu hawezi kunichukulia mwanaume wangu hana hiyo hadhi, ukimuangalia mpenzi wangu Boshen na Amber ni vitu viwili tofauti, aliamua kufanya ushamba tu wa kujirekodi video na kupost instagram na kuandika vitu anavyovijua yeye na sipendi kumuongelea maana nitampa kiki" amesema Haitham Kim.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...