Msanii wa muziki @diamondplatnumz amepost cover ya albamu mpya ya AfroEast ya muimbaji @harmonize_tz ambaye alikuwa msanii wa label yake ya WCB.
Hatua hiyo imetafsiriwa ni hatua nzuri toka mkali huyo wa wimbo Never Give Up aondoke katika label hiyo ambayo ilimtoka kimuziki.
Harmonize siku ya jana alizindua albamu yake hiyo Mlimani City jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali.
Katika usiku huo muimbaji huyo aliushukuru uongozi wake huo wa zamani kwa kumvumilia mpaka amefika hatua ya kumalizana nao.
Msanii wa muziki Shilole pamoja na Shetta ni miongoni mwa wasanii waliofurahiachatua hiyo licha ya baadhi ya watu kuwa na mtazamo tofauti huku wengine wakidai ni mtego.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment