Search This Blog

Sunday, March 1, 2020

Bruno Fernandes aiokoa Manchester United

Bruno Fernandes (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 31 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Everton waliotangulia kwa bao la Dominic Calvert-Lewin dakika ya tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Goodison Park.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...