Search This Blog

Tuesday, March 17, 2020

BREAKING News: Wagonjwa wa Corona Waongezeka, Dar es Salaam na Zanzibar



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza wagonjwa wawili wa virusi vya corona Tanzania mmoja amekutwa Zanzibar.

“Tuna ongezeko la wagonjwa wawili ambao wamethibitika kuwa na corona Tanzania, mmoja kutoka Zanzibar yeye ni Mjerumani ana miaka 24 na tayari yupo kwenye uangalizi, na hapa DSM tuna Mmarekani mwenye miaka 61 amebainika kuwa na corona pia” - Waziri Mkuu Majaliwa




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...