Search This Blog

Sunday, March 15, 2020

Biden aahidi kumteua mwanamke kama makamu wake





Makamu wa rais wa zamani wa Marekani Joe Biden Jumapili usiku aliahidi kwamba iwapo atapata uteuzi wa chama cha Demokratik wa kuwania urais kwenye uchaguzi ujao wa mwezi Novemba, atamteua mwanamke kama mgombea mwenza.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...