Search This Blog

Thursday, March 26, 2020

Amzika Baba Yake Kwenye Gari Aina ya BMW Lenye Thamani ya Milion 200

Moja ya picha zilizosambaa Sanasana Facebook huko nchini Nigeria ni hii inayodaiwa kuwa ni ya Raia mmoja wa nchi hiyo aitwae Azubuike kumzika Baba yake na gari aina ya BMW badala ya jeneza, imeripotiwa kuwa thamani ya gari hilo ni Tsh. Milioni 200

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...