Search This Blog

Thursday, March 26, 2020

Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Simba Kuzikwa Leo Dar..



Uongozi wa clabu ya simba umepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyewahi kuwa msemaji wake Asha Muhaji kilichotokea siku ya jana katika ospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu.

Mazishi yatafanyika leo alhamisi saa 10 jioni katika makaburi ya mwinyi mkuu magomeni mapipa



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...