Search This Blog
Thursday, March 26, 2020
Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Simba Kuzikwa Leo Dar..
Uongozi wa clabu ya simba umepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyewahi kuwa msemaji wake Asha Muhaji kilichotokea siku ya jana katika ospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu.
Mazishi yatafanyika leo alhamisi saa 10 jioni katika makaburi ya mwinyi mkuu magomeni mapipa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment