Search This Blog

Monday, February 24, 2020

Vikao vya bunge la China vyahairishwa kisa virusi vya corona


Kikao cha bunge la China kilichokuwa kianze March 5 kimehairishwa kutokana na hofu ya virusi vipya vya Corona (Kovid-19).

Uamuzi huo umefanywa na baraza la uongozi wa bunge katika kikao chake cha leo.

Kikao hicho ambacho kwa uchache hudumu kwa muda wa siku 10, hujumuisha wajumbe elfu 5000 kutoka maeneo mbalimbali na hukutana jijini Beijing.

Hii ni mara ya kwanza kwa mkutano wa bunge kuhairishwa tangu mapinduzi ya utamaduni

(1966-1976)



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...