Search This Blog

Wednesday, February 12, 2020

VIDEO: Tetesi za soka za leo Februari 13


Mtendaji Mkuu wa Simba, Senzo Mazingisa ameweka bayana kwamba kocha wao mkuu, Sven Vanderboeck ataendelea kubakia katika nafasi yake japokuwa wamekuwa wakihusishwa na kumtaka raia wa DR Congo.
Ibenge anatajwa kuja kuchukua nafasi ya Sven ambaye inatajwa anaweza kutimuliwa kutokana na kutofanya vizuri kwenye timu hiyo. Senzo amesema kwamba suala la kumtaka Ibenge kwa sasa halipo licha ya kwamba mambo hayaendi vizuri kwa kocha wao.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIUBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...