Umoja wa Afrika unafanya kila linalowezekana kuhakikisha hatua madhubuti zinachukiliwa katika kukabiliana na mripuko wa maambukizi ya virusi vya corona katika bara hilo.
Taarifa hiyo ya asasi ya vituo vya udhibiti wa magonjwa barani, (Africa CDC), inafuatia uthitbitisho wa kisa cha kwanza cha ugonjwa wa virusi hivyo vya Covid-19 kilichobainika Februari 14 nchini Misri.
Katika taarifa yake mkurugenzi wa Africa CDC John Nkangasong amesema wanataraji kwamba mripuko wa Covid-19 unaweza kuwa na athari kubwa kwa Afrika.
Katika jitihada za kuikinga Afrika na mripuko wa corona mkurugenzi huyo wa Africa CDC amesema taasisi yake umekuwa ikishirikiana bega kwa bega na mataifa ya Umoja wa Afrika katika kipindi cha wiki nne sasa kujipanaga katika utayari kukabiliana na matokeo yake.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment