Search This Blog
Thursday, February 27, 2020
Tyson Fury Amuomba Wilder Akubali yaishe tu
Bondia muingereza Tyson Fury baada ya kushinda Ubingwa wa Dunia uzito wa juu kwa TKO kwa kumpiga Deontay Wilder round ya 7 na kubeba mkanda wa WBC, awali ilikuwa inafahamika kuwa Bingwa wa pambano hilo la marudiano baada ya awali kutoka sare ataenda kupambana na bondia Anthony Joshua.
Kutokana na sheria ya mkataba waliosainishana Tyson Fury na Deontay Wilder unawataka kurudiana kwa mara ya tatu kama Wilder atapenda kitu ambacho inaaminika kuwa hawezi kukataa kurudiana nae, sasa inadaiwa kuwa upande wa Tyson Fury promota wa pambano hilo Frank Warren amepanga kumshawishi Wilder kwa pesa ili aachane na ishu za kurudiana na Fury na badala yake lipigwe vs Anthony Joshua.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment