Search This Blog
Saturday, February 22, 2020
Tyson Fury aibuka mshindi baada ya kumtwanga Deontay Wildera kwa TKO
Bondia TysonFury ameibuka mshindi wa pambano la pili la mkanda wa Uzito wa Juu kwa kumchapa DeontayWilder kwa TKO raundi ya 7 ya mchezo uliokuwa wa raundi 12.
Licha ya kuangushwa chini mara mbili, Wilder pia alikuwa akivuja damu kwenye Sikio lake la kushoto kitendo kilichosababisha mwalimu wake kumuomba Mwamuzi amalize pambano hilo baada ya Wilder kutembezewa kichapo kwenye Kona ya Ulingo.
Wawili hawa mpaka wanakanyaga ardhi ya MGM GRAND kila mmoja alikuwa hajapoteza pambano lolote.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment