Search This Blog

Sunday, February 23, 2020

Tanzia: Katibu Mkuu wa zamani wa CAF afariki dunia

Katibu Mkuu wa zamani wa shirikisho la soka Afrika CAF Amr Fahmy ,36, amefariki dunia kwa ugonjwa wa kansa, Amr alichaguliwa kuwa katibu mkuu wa CAF November 2017 kumrithi Hicham El Amrani lakini hakudumu hata kwa miaka miwili katika nafasi hiyo.

Amr mwaka jana kabla ya mauti yake alitangaza kuwa na nia ya kugombea Urais wa shirikisho la soka Afrika (CAF) ifikapo mwaka 2021, Amr aliondoka CAF katika nafasi ya ukatibu mkuu baada ya kushindwa kuelewana na Rais wa CAF Ahmad Ahmad.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...