Search This Blog
Thursday, February 27, 2020
Rais Dkt Magufuli amteua Katibu Mkuu Kiongozi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, leo Februari 27, 2020, amemteua Balozi John Kijazi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ndege za Serikali (TGEA).
Ikumbukwe kuwa Balozi John Kijazi ni Katibu Mkuu Kiongozi.
Aidha Rais Dkt Magufuli amemteua Mhandisi Florian Kabaka kuwa Mwenyeki wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA), uteuzi wa viongozi hao umeanza jana Februari 26, 2020.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment