Search This Blog
Thursday, February 27, 2020
Nigeria: Mgonjwa wa kwanza wa Virusi Vya Corona (COVID-19) agundulika
Mamalaka ya Afya ya Nigeria (Federal Ministry of health) ya Nigeria imetangaza kugundulika kwa mgonjwa wa kwanza wa COVID-19, waziri wa afya amesema mgonjwa huyo ni raia wa Italia anayefanya kazi Lagos na siku za karibuni alirejea kutoka Milan (Italy), kwasasa mgonjwa huyo yupo katika uangalizi wa kimatibabu mjini Yaba ndani ya mjini Lagos na serikali inafanya juhudi kuatambua watu wote ambao mgonjwa huyo alikutana nao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment