Search This Blog

Saturday, February 15, 2020

Kambi Ya Kijeshi ya Marekani Iraq Yapigwa Tena Kombora



Kombora la aina ya Katyusha limeanguka kwenye kituo cha jeshi la Marekani katika mkoa wa Kirkuk, kaskazini mwa Iraq. 

Shambulizi hilo lilitokea Alhamisi jioni bila kusababisha kifo au majeruhi. 

Hata hivyo, kikosi cha polisi cha Iraq kilifanya msako eneo lilikorushwa kombora hilo, na kugundua kifaa cha kurushia makombora chenye makombora kumi na mbili, kombora moja tu likiwa limerushwa.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...