Watu 4 zaidi wafariki kutokana na virusi vya Corona, Covid-19 nchini Iran na kufanya idadi ya watu waliofariki kutokana na virusi hivyo nchini humo kufikia 16.
Naibu waziri wa afya wa Iran, İreç Herirçi, amesema kwamba nay eye ni miongoni mwa watu walioambukizwa na virusi vya Corona. Mpaka kufikia sasa idadi ya watu walioambukizwa virusi vya Corona nchini humo ni watu 96.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment