Search This Blog
Sunday, February 9, 2020
Huyu Hapa Mchugaji Anaye uza Mafuta ya Kujikinga na Virus vya Corona
Kiongozi wa Kanisa la International God’s Way la Ghana, Daniel Obinim ametangazia wafuasi wake kuwa anauza mafuta yanayoweza kuwakinga na Coronavirus. Obinim ambaye mtindo wake wa maisha ya anasa ni gumzo Ghana, anauza chupa moja ya mafuta hayo kwa Cedi 200 za Ghana (TZS 85,000).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment