Search This Blog

Sunday, February 9, 2020

Huyu Hapa Mchugaji Anaye uza Mafuta ya Kujikinga na Virus vya Corona


Kiongozi wa Kanisa la International God’s Way la Ghana, Daniel Obinim ametangazia wafuasi wake kuwa anauza mafuta yanayoweza kuwakinga na Coronavirus. Obinim ambaye mtindo wake wa maisha ya anasa ni gumzo Ghana, anauza chupa moja ya mafuta hayo kwa Cedi 200 za Ghana (TZS 85,000).

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...