Search This Blog

Monday, February 17, 2020

Breaking News: Soko la Tegeta Nyuki Lateketea Kwa Moto



Maduka, Vibanda na Magenge ya Wafanyabiashara ndani ya soko hilo lililopo Tegeta Jijini Dar yametekea kwa moto usiku wa tarehe 17 Februari, 2020

Inadaiwa kuwa chanzo cha moto huo uliosababisha hasara kubwa ni hitilafu ya umeme - #regrann


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...