Mbali na kuondolewa katika mashindano Klabu ya yanga inatoa shukrani kwa serikali ya Mapinduzi Zanzibar na waandaaji wa kombe la mapinduzi kwa kuipa nafasi timu yao kwa kushiriki michuano hiyo muhimu na ya Kihistoria.
Imesema inathamini na kutambua michuano hiyo na timu yao ilidhamilia kutwaa taji hilo ila baati mbaya imetokea timu imeondolewa kwa mikwaju ya penati.
"Yanga kama klabu tunayaheshimu mashindano hayo kutokana yanatukutanisha kama Taifa na kutoa tafsiri ya muungano wetu hasa kwenye mchezo wa mpira wa miguu hivyo tutaendelea kushiriki michuano hiyo katika miaka ijayo"
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment