Mhe. Innocent Bashungwa Waziri wa viwanda na Biashara amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa DHL nchini Bw.Paul Elton Garikai Makolosi ili kujua mipango yao ya logistics na kuomba kusaidia biashara ndogo na kati kuuza bidhaa zao kwa njia ya mtandao duniani kote ambapo shipping anafanya DHL.
Aidha awamekubaliana akutane na TMEX, TANTRADE, TAHA ili washirikiane maandalizi ya mnada wa Chai kufanyika Dar kuanzia mwaka huu 2020.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment