Search This Blog

Thursday, January 2, 2020

Uwoya Adokeza Kuwa tayari anatoka kimahaba na Msanii Rayvanny


Uwoya Adokeza Kuwa tayari anatoka kimahaba na Msanii Rayvanny hii ni baada ya Shabiki kuona picha wakiwa pamoja na Kuandika haya:

"Usije ukatembea na huyo mtoto utajivunjia heshima japo huchaguagi"
Lakini Katika hali ya Kushangaza Irene Uwoya Alimjibu "Umechelewa Sana kuniambia sasa itakuwake" Ikiwa na Maaana tayari ameshatembea na Rayvanny




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...