Search This Blog

Friday, January 31, 2020

Salim Mtango amtwanga kwa TKO bondia Mthailand katika round ya 7

 

Bondia Salim Mtango amefanikiwa kumtwanga mpinzani wake Suriya Tatakhum kutoka Thailand katika round ya 7.

Pambano hilo limefanyika leo katika kiwanja cha Mkwakwani mkoani Tanga,  Salim Mtango sasa amekuwa ni Bingwa mpya wa Dunia UBO kwa ushindi wa TKO.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...