Search This Blog
Wednesday, January 22, 2020
Rais wa Iraq Akutana na DONALD Trump Huko Davos
Taarifa kutoka afisi ya rais wa Iraq inasema Rais wa nchi hiyo Barham Salih amekutana na Rais wa Marekani Donald Trump huko Davos, Uswisi leo.
Mkutano huo ndio wa kwanza kati ya marais hao wawili tangu Marekani kumuua kamanda wa ngazi ya juu wa Iran Qasseim Soleimani.
Trump ambaye anatarajiwa kuondoka huko Davos leo na kurudi Washington amesema kuna mengi muhimu watakayoyajadili.
Rais Salih naye amesema kukutana na Rais Trump ni fursa muhimu sana.O Ton Salih"Tumekuwa na uhusiano wa muda mrefu na Marekani imekuwa mshirika wa Iraq na vita dhidi ya kundi la ISIS.
Mpango huu unastahili kukamilishwa. Naamini kwamba mimi na wewe tuna maono sawa ya Iraq iliyo imara, huru ambayo ina amani pamoja na majirani zake."
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment